NINAHITAJI TIN NUMBER
ILI KUPATA TIN NUMBER YAKO ANDAA VITU VIFUATAVYO
Namba ya NIDA
Namba ya Simu uliyosajili kwa kutumia alama ya vidole vyako
UTAMBULISHO
- Majina Matatu ya Mama Mzazi(kama yalivyo andikwa wakati wa kusajili NIDA)
NB: usibadilishe herufi kwa mfano: ESTA siyo sawa na ESTHER, FLORA siyo sawa na FULORA. Andika jina kama lilivyoandikwa wakati unajiandikisha.
- Shule ya Msingi uliyomaliza, na mwaka wa kumaliza hiyo shule ya msingi
MAKAZI
Unataka kufanyia Shughuli(au biashara) yako wapi?
- Mkoa
- Wilaya
- Kata
- Kijiji/Mtaa

Comments
Post a Comment